
Leo patashika nguo kuchanika mechi ya marudiano Bayern Munchen vs Real Madrid ligi kuu ya mabingwa ulaya,Katika mechi ya kwanza Rea Madrid ilikuwa nyumbani na ilishinda bao moja bila lililifungwa na Karim Benzema na leo Real Madrid itakuwa ugenini dhid ya wenyeji Bayern Munchen.Mechi hiyo itachezwa mida ya saa 3:45 usiku,usikose mchezo huyo mkali ni wa kutafuta mshindi wa kucheza fainal
Na kesho Inshallah...