Sunday, March 30, 2014

Ulevi mbalimbali kwa sasa umeingia vijijini tena unavutwa bila uoga,zamani ulevi vijijini walikuwa wanatumia Pombe,Bangi,Mirungi na nk. Lakini kwa miaka hii ya sasa kumeingia ulevi mkubwa sana Unga. Unga sasa umekuwa ulevi mkubwa sana vijijini,vijana wengi wameharibika kwa ulevi huu hatari, Nguvu kazi imepotea,Uwizi umeongezeka kwa kasi kubwa,vijana wamekuwa vibaka,wezi wa Nazi na vitu vingine.Amani...

Saturday, March 29, 2014

Manchester United yaichapa Aston villa mabao 4-1. Leo kulikuwa na mechi kali kati ya Man U na Aston villa mida ya saa 9:30 alasiri,dk ya 10 Aston villa yaanza kupata goal la kwanza.mechi iliendelea kuwa ngumu mno mnamo dk ya 40 Rooney iliipatia Man U bao la 1,ikawa 1-1,Dk ya 45 kwa mara nyingine tena Rooney iliipatia Man U bao la 2, Baada ya kurud Half time mechi iliendelea kuwa ngumu mno kwa mashuti...

Thursday, March 27, 2014

Serikali yetu imelitilia mkazo suala la elimu na serikali ikaamua kujenga seondary kila kata ktk mikoa yote Nchini tangu mwaka 2004 na kuendeleaserikali ilifanikiwa zoezi hili kwa hali na mali. Na wanafunzi walifanikiwa kufaulu ktk shule hizo. Tatizo kubwa lipo ktk kufaulisha form four kwenda form five hapo ndipo kuna mtihan mkubwa mno, Wananchi wanajiuliza maswali mengi sana kuhusu suala la ufaulu...

Tuesday, March 25, 2014

Man U vs Man city zakutana tena leo kwa mechi ya marudiano, leo Man United yuko nyumbani Old Trafford akitaka kulipiza kisasi mechi zilizopita je ataweza...??,usikose kufuatilia mchezo huu wa leo utakao chezwa saa 4:45 usiku, pia usikose kutembelea ktk blog hii kupata taarifa mbalimbali. Man U itamkosa mchezaji wake hatari mwenye uchu wa magoli Robin Van Persie aliumia mechi iliyopita Ni majeruhi...

Sunday, March 23, 2014

Jana Arsenal yachezea kichapo cha Mbwa mwizi bila huruma tena bila kuangaliwa usoni,imechezea kichapo cha mabao 6-0 ndani ya nyumbani Stamford Bridge. dakika ya 4 Mu Africa mwenye njaa ya magoli Samuel Etoo afunga bao  la kwanza,mpira ukiendelea kwa kasi mnamo dakika ya 6 Edin Hazard atumbukiza goal la pili kwa mkwaju wa penalt na Gigs akitolewa nje kwa card nyekundu hapo Chelsea ilipamba moto,dakika...
Timu hizo jana zilicheza ktk viwanja tofauti tofauti na zilifanikiwa kushinda na kuchukua point 3 muhimu, (1)Chelsea na Arsenal ziliingia uwanjani mida ya saa 9:30 alasiri,Chelsea ilimchapa Arsenal kipigo cha Mbwana mwizi bao 6-0. (2)Man United na West hum nazo ziliingia uwanjani mida ya saa 2:30 Man U ikiwa ugenini ilichukua point 3 muhimu kwa kuichapa West hum 2-0. (3)Liverpool na Cadiff United...

Saturday, March 22, 2014

Leo j.mosi ratiba yaendelea tena ktk viwanja mbalimbali CHELSEA vs ARSENAL Mida ya saa 9:30 alasiri usikose mechi kali za leo. LIVERPOOL vs CADIFF Mida ya saa 12:30 jioni MAN U vs WEST HAM Mida ya saa 2:30 usiku je leo Man U itashinda tena?usikose kufuatilia mchezo huu mkali mno pia usikose kufuatilia blog hii ili kujua matokeo mbali mbali kuhusu michezo hii na habari nyingine tele. pia michezo...
Ni Juma Mohammed (J.Tozz),amezaliwa Tanga,wilaya ya Mkinga kijiji cha Magaoni, Amesoma shule ya msingi Bawa,Kwale sec school,chuo Datastar Training College, Kwa sasa anaishi Arusha kama Director Ancester Travel and Tours. Kwa waliopo Arusha kama unamaoni,ushauri na habari yoyote wasiliana nae kwa  Tell: +255 714 178 093  Email: kampeni38@gmail.com  skype: jumamody  Twiter:jumamody Pia...

Friday, March 21, 2014

Mawasiliano kwa Wadau wa Fikra za Wadigo blog.  Tell: +255/717 105 505          +255/783 105 505           +255/716 568 163 Email:  Kidemanho@gmail.com            Mwadambo@gmail.com            fikrazawadigo@wadigo.com Website: w.w.w.fikrazawadigo.co.tz Kama...
Nawatakia Ijumaa njema Waislam wote dunia,Mungu azikubali swala na dua zenu, Pia nawahasi tufike misikitini mapema ili kupata fadhila za Ijumaa, tufunge biashara zetu kwa muda pia tuwah hotuba 2 muhimu kabla ya swala,Mtume Muhammad (s.aw) anatuhimiza pindi tuendapo Ijumaa basi tuoge,kwahiyo tusisahu kuoga kwa siku ya leo pia tujipake manukato kama tunayo,tukumbuke kuvaa nguo nzuri hasa hasa Kanzu...
Mwandishi wetu na mtoaji habari mbalimbali ktk Blog yetu ya Wadigo kule visiwani Pemba ni MUSSA MWADAMBO, Huyu ni kijana mdogo sana aliyezaliwa Mkoa wa Tanga wilaya ya mkinga kata ya kwale kijiji cha Kichalikani, pia amesoma shule ya msingi Vyeru na akafaulu shule ya secondary Kwale. Kwa sasa anaishi Pemba pamoja na shughuli zake zote anafanyia kule. Kwa walio visiwani kama una habari,Maoni,ushauri...

Thursday, March 20, 2014

Shule ya secondary Kwale iliyopo mkoa wa Tanga wilaya ya Mkinga kata ya Kwale iliyoanzishwa mwaka 2005,2006 matokeo yake ya mwaka 2013 yamekuwa yakitishia amani, ziro ni nyingi mno kuliko walio pata alama ya kupata cheti cha kumaliza elimu ya kudato cha nne,Wazazi wengi wakilalamika na kukata tamaa juu ya kizazi kijacho. Shule hii ilikuwa na matokeo mazuri sana hapo awali ilifaulisha vijana mwaka...

Wednesday, March 19, 2014

Manchester United yafuzu kuingia robo fainal baada ya kuichapa Olympiokos magoli 3-0. Magoli hayo yakifungwa na V.Persie ktk dk ya 25 kwa mkwaju wa Penalt na dk ya 45 ktk kipindi cha kwanza.Baada ya kurudi kipindi cha pili dk ya 52 V.Persie aliifungia tena timu yake kwa mkwaju wa faulu ulioingia moja kwa moja wavuni. kwa magoli hayo matatu imeiwezesha Man U kuingia Robo fai...
Shule ya secondary Kwale iliyopo mkoa wa Tanga wilaya ya Mkinga kata ya Kwale iliyoanzishwa mwaka 2005,2006 matokeo yake ya mwaka 2013 yamekuwa yakitishia amani, ziro ni nyingi mno kuliko walio pata alama ya kupata cheti cha kumaliza elimu ya kudato cha nne,Wazazi wengi wakilalamika na kukata tamaa juu ya kizazi kijacho. Shule hii ilikuwa na matokeo mazuri sana hapo awali ilifaulisha vijana mwaka 2009,2010 na 2011 wengine wapo mavyuoni,Makazini nk. MAOMBI YA WANANCHI Wanaomba...
Vijana wa kidigo wa kijiji cha Kichalikani wakipeana mawazo mbali mbali ya kuhusu maisha ya mjini,vijana hawa wanashirikiana kwa kila jambo na wanapanga mikakati madhubuti kuhusu maendeleo ya kijiji chao kichalikani. kijiji chao kwa sasa kina mafanikio makubwa,vijana wameilimika wamejenga ya msingi, wanajenga nyumba madhubuti za tofali na sasa wanampango wa kujenga Hospital ya kijij...
...
Real Mardid yafuzu ktk mchezo wa jana kti ya Shalk o4 kwa kuichapa mabao 3-1. Mchezo ulikuwa mgumu sana hadi half time bao ni 1-1,baada ya kurud tena dumbani Mchezajio bora wa dunia C.Ronald akaipatia timu yake bao la pili mnapo dk ya 67, mchezo uliendelea kuw mgumu sana. kwenye dk ya 83 mchezaji ISCO akaipatia tena yake bao la 3, mpaka kipenga cha mwisho Real Madrid waliondoka na ubingwa h...

Monday, March 3, 2014

Wavuvi wa kijiji cha kichalikani wakitoka Bahari, wakishirikiana ili kuleta maendeleo yao kijiji chao, tayar wameshaanza kujenga shule yao ya msingi, sasa wana hamu ya kujenga Hospitali yao ya kijiji. Karibuni sana Kichalika...