
Ulevi mbalimbali kwa sasa umeingia vijijini tena unavutwa bila uoga,zamani ulevi vijijini walikuwa wanatumia Pombe,Bangi,Mirungi na nk.
Lakini kwa miaka hii ya sasa kumeingia ulevi mkubwa sana Unga.
Unga sasa umekuwa ulevi mkubwa sana vijijini,vijana wengi wameharibika kwa ulevi huu hatari,
Nguvu kazi imepotea,Uwizi umeongezeka kwa kasi kubwa,vijana wamekuwa vibaka,wezi wa Nazi na vitu vingine.Amani...