Nawatakia Ijumaa njema Waislam wote dunia,Mungu azikubali swala na dua zenu,
Pia nawahasi tufike misikitini mapema ili kupata fadhila za Ijumaa,
tufunge biashara zetu kwa muda pia tuwah hotuba 2 muhimu kabla ya swala,Mtume Muhammad (s.aw)
anatuhimiza pindi tuendapo Ijumaa basi tuoge,kwahiyo tusisahu kuoga kwa siku ya leo pia tujipake manukato kama tunayo,tukumbuke kuvaa nguo nzuri hasa hasa Kanzu kwa wanaume.
IJUMAA KAREEM.
Pia nawahasi tufike misikitini mapema ili kupata fadhila za Ijumaa,
tufunge biashara zetu kwa muda pia tuwah hotuba 2 muhimu kabla ya swala,Mtume Muhammad (s.aw)
anatuhimiza pindi tuendapo Ijumaa basi tuoge,kwahiyo tusisahu kuoga kwa siku ya leo pia tujipake manukato kama tunayo,tukumbuke kuvaa nguo nzuri hasa hasa Kanzu kwa wanaume.
IJUMAA KAREEM.
 RSS Feed
 RSS Feed Twitter
 Twitter 1:55 AM
1:55 AM
 Unknown
Unknown

 Posted in
 Posted in 






 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment